Thursday, August 14, 2008

Shein ana kwa ana na Wanafunzi
Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed shein akizungumza na wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma Cuba wakati wa ziara yake nchini humo.Dk Shein aliwataka wanafunzi hao kuzitumia vyema nafasi hizo za masomo na baada ya kuhitimu warudi kulitumiakia Taifa lao

No comments: