Madaktari Muhimbili Wasitisha
Mgomo...
------------
*Watoa masharti ya kurejea kazini
*Serikali kuwaadhibu watakaoendelea
*TUCTA yatangaza mgomo wa siku tatu
*Serikali kuwaadhibu watakaoendelea
*TUCTA yatangaza mgomo wa siku tatu
MADAKTARI walioko mafunzoni katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MNH)wamesitisha mgomo wao jana na kurejea kazini kwa muda wa siku saba,hadi pale uongozi wa hospitali hiyo utakapotekeleza madai yao kamili ifikapo Jumatatu ijayo.Wakati wakichukua hatua hiyo, serikali imewaagiza madaktari wote waliogoma warudi kazini mara moja kuendelea na kazi na wasipofanya hivyo hatua kali za kinidhamu dhidi yao zitachukuliwa.Bofya na Endela....>>>>>
No comments:
Post a Comment