Mwanamama akiwa amevalia kivazi asilia cha Tanzania, Khanga hata sura huwezi kuambiwa ni mganda ukakubali.
Babu yangu wa kimakonde nae akifanya kazi maarufu ya kwao Ntwara, uchongaji ni vitu ambavyo mtanzania anajivunia.
Hii ngoma tunaita ya kitanzania lakini nina wasiwasi kidogo sijui ni kabila gani lakini mavazi na ushikaji nyoka haviendani labda kama imeboreshwea wadau naombeni jibu. Hasa wasukuma ndio wataalamu wa nyoka.
No comments:
Post a Comment