Wednesday, April 30, 2008

Breaking News..

Matokeo ya Urais Zimbabwe
Tsvangirai 47%,
Mugabe 43%

Pichani ni Kiongozi Mkuu wa chama cha Upinzani nchini Zimbabwe(MDC) Morgan Tsvangirai akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya Matokeo Ya uchaguzi yaliyorudiwa
kuhesabiwa kwa mara ya pili kumpa ushindi wa 47% na kumpita Mpinzani wake Mkuu Rais Wa sasa Robert Mugabe Kutoka chama cha ZANU-PF aliyeambulia 43%

No comments: