Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiwakunjisha ngumi wazanzibari alipohutubia.
wananchi wakikunja ngumi kuonyesha Peoples Power!
Mrema akitema cheche mkutanoni hapo.
Duni Juma Duni kama kawaida aliweka wazi msimamo wake wa kutoendelea na uvumilivu.
wananchi wa Zanzibar ambao ni wanachama wa CUF wakiandamana leo asubuhi.
No comments:
Post a Comment