Wednesday, April 16, 2008

libeneke la mkali nani lahamia dom


"Dully inabidi usaidie jahazi la Wanaume TMK Family au unasemaje mtu wangu, kama vipi twende zetu dodoma ijumaa ukaongeze nguvu, naona kama tumezidiwa flani hivi"Mkubwa said Fella ambaye ni meneja wa kundi la wanaume familly akizungumza na Dully Sykes hivi karibuni.Wadau mpambano wa Mkali nani libeneke lake bado linaendelea mkoani Dodoma,ambapo litafanyika uwanjani Jamhuri na kiingilio kimepangwa kuwa shilingi 2000/= kwa kila kichwa

No comments: