Saturday, September 12, 2009

TBL yasaidia Milioni 25 chuo Kikuu cha Tumaini
Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Maneno Mbegu ((kushoto), akimkabidhi Makamu Mwenyekiti wa Uchangiaji wa Mfuko wa Ujenzi wa Tawi la Chuo Kikuu cha Tumaini, jijini Dar es Salaam, Mhandisi Harold Temu, mfano wa hundi yenye thamani ya sh. milioni 25 mchango wa TBL kusaidia ujenzi huo. Wanaoshuhudia makabidhiano hayo yaliyofanyika, Dar es Salaam , ni Mkuu wa Chuo hicho, Prof. Geoffrey Mmari (wa pili kulia) na Japhet Minja ambaye ni Makamu Mkuu wa Chuo hicho upande wa taaluma.

No comments: