Monday, September 7, 2009

mwanamama asaula mbele ya ubalozi wa ufaransa dar
wasamaria wema wakimzong mwanamama na mwanae ambaye aliamua kusaula nguo na kubaki na nanihii tu kwenye geti la ubalozi wa ufaransa mchana huu. haikujulikana mara moja sababu za yeye kufanya hivyo ila walinzi wa ubalozi walisema hawamtambui na wala hakuwa ameenda ubalozini hapo. walinzi walisema walimuona amesimama mbele ya geti akiwa kama anataka kuvuka, ghafla akambwaga mtoto chini na kuanza kusaula huku akisema maneno yasiyoeleweka. askari polisi waliitwa mara moja na kumchukua

No comments: