Friday, September 18, 2009

majambazi yapambana na polisi, yauwawa
ndugu zangu ona picha hizi nimepiga nikiwa njiani kuja hapa mwanza jana mnamo saa kumi hivi kattika kijii kimoja kinaitwa msisi. majambazi matatu yalipambana na polisi lakini askari kwa kushirikianana wananchi walifanikiwa kuyauwa majambazi hayo yote, katika mapambano hayo askari polisi alijeruhiwa vibaya na mwananchi mmoja kuuwawa.
hapo ilikuwa ni jirani na nyumbani kwa moja wa majambazi hao





No comments: