Wednesday, September 9, 2009

mdau mlemavu wa mwanza asiye na miguu na mikono
emma akisaidiwa kwenda chooni
emma akisubiri kuingizwa chooni

Mdau wetu haya ndio mazingira anayoishi kijana Emanuel Urio, Aliezaliwa jijini Mwanza akiwa na ulemavu wa kukosa mikono na miguu.
Emanuel anaweza kujiendeleza na mambo mengi endapo atapata msaada kutoka kwako.Mdau wewe umempa nini Mungu kukuleta duniani bila kasoro yoyote? MSAIDIE EMA NA MUNGU ATAKUONGEZEA.
Kitu ambacho Ema anachukia ni kukaa barabarani akiomba msaada,anapenda sana kusoma, kuchora, kuimba na mambo mengine meengi.Namba zake za simu ya mkononi ni,
+255 757 839 674
picha na habari zingine

No comments: