Ni nani katika hawa warembo atavaa taji la Redds Miss Photogenic 2009?
warembo 29 wa Vodacom Miss TZ 2009 wanaochuana kuwania taji la Redds Miss Photogenic 2009, katika shindano linaloratibiwa na globu ya jamii ya issamichuzi.blogspot.com na kudhamniwa na kilaji cha Redds Premium Lager.
Mshindi atapata shs. 1,000,000/- taslimu, mkataba wa mwaka mmoja kufanya kazi za umodo na kampuni inayongoza ya umodo nchini ya Beautifl Tanzanie Agency pamoja na portfolio ya ulimbwende. Mdau unaombwa kupendekeza ni nani kati yao ni photogenic ama mrembo mwenye mvuto wa picha.
Mshindi atatangwazwa October 2, 2009 siku ya fainali za Vodacom Miss Tz 2009 zitazofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Conference Centre jijini Dar. Kazi kwako mdau......
No comments:
Post a Comment