Tuesday, September 29, 2009

Ni nani katika hawa warembo atavaa taji la Redds Miss Photogenic 2009?
namba 00027
namba 00000
namba 0001
namba 0002
namba 0003
namba 0004
namba 0004
namba 0005
namba 0006
namba 0007
namba 0008
namba 0008
namba 0009
namba 00010
namba 00011
namba 00013
namba 00014
namba 00015
namba 00016
namba 00017
namba 00018
namba 00019
namba 00020
namba 00021
namba 00022 namba 00023
namba 00024
namba 00025
namba 00026
warembo 29 wa Vodacom Miss TZ 2009 wanaochuana kuwania taji la Redds Miss Photogenic 2009, katika shindano linaloratibiwa na globu ya jamii ya issamichuzi.blogspot.com na kudhamniwa na kilaji cha Redds Premium Lager.
Mshindi atapata shs. 1,000,000/- taslimu, mkataba wa mwaka mmoja kufanya kazi za umodo na kampuni inayongoza ya umodo nchini ya Beautifl Tanzanie Agency pamoja na portfolio ya ulimbwende. Mdau unaombwa kupendekeza ni nani kati yao ni photogenic ama mrembo mwenye mvuto wa picha.
Mshindi atatangwazwa October 2, 2009 siku ya fainali za Vodacom Miss Tz 2009 zitazofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Conference Centre jijini Dar. Kazi kwako mdau......

No comments: