Tuesday, February 23, 2010

Dawa ya Kulevya Yaliyohifadhiwa kwenye
Vinyago yakamatwa

Ma


Kamanda wa Polisi wa viwanja wa vya ndege nchini,Kamishna msaidizi Mwajuma Kiponza(kulia) akiwaonyesha waandishi wa habari jana madawa yakulevya yaliyokuwa yameifadhiwa kwenye vinyago.Madawa hayo yalikamatwa kutoka kwa mtuhumiwa anayejulikana kwa jina Halid Maunga juzi katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere alipokuwa akijiandaa kuyasafirisha kwenda Uingereza.
du wadau wa blog hii imekaaje ndio zinavyopitishwa watu wakamchoma leo au jamani nisaidie mawazo katika hili .

No comments: