Saturday, January 1, 2011

THT yafanya shoo kali katika ufunguzi wa Mini ZIFF
Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Barnaba akiwapa vitu roho inapenda wakazi wa Zanzibar waliofika kwa wingi katika tamasha dogo la filamu (Mini ZIFF) linaloendelea kufanyika ndani ya viwanja vya ngome kongwe,Zanzibar.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Marlow akikirudi Kiduku huku mashabiki wakishangilia kwa wingi,usiku wa kuamkia leo wakati wa ufunguzi wa tamasha dogo la ZIFF,visiwani Zanzibar.
Msanii wa kizazi kipya,Linah nae aliliangusha sebene la kufa mtu wakati wa ufunguzi wa Tamasha Dogo la ZIFF visiwani Zanzibar usiku wa kuamkia leo.
Dogo Dito akipagawiwa wakati kwa kukaribisha mwaka mpya wa 2011.
Shangwe za kukaribisha mwaka mpya 2010 zilitawala ilipotimu saa sita na dakika moja,ndani ya viwanja vya ngome kongwe,Zanzibar.

Kwa Picha Zaidi

BOFYA HAPA

No comments: