Tuesday, January 4, 2011

MACUULAY CULCIN .......ALIKUWA STAR UTOTONI,UKUBWANI LIKABAKI JINA TU.

Alikuwa maaarufu sana kama Kevin katika filamu ya home alone,home alone to..lost in new york.Alitajwa kuwa anashikilia nafasi ya piliya waigizaji watoto waliofanikiwa duniani.
Ana miaka 30 sasa na ameshacheza filamu kadhaa baada ya home alone lakini hazijampa umaarufu kama wakati akiwa mdogo..alianza kuigiza akiwa na miaka minne tu..

No comments: