Sunday, August 15, 2010

ZIJUE SHERIA ZA GHARAMA ZA UCHAGUZI
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU
Dk. Edward Hosea
SHERIA YA GHARAMA ZA UCHAGUZI
Kwa nini Sheria ya Gharama za Uchaguzi imetungwa?

(a) Kuthibiti matumizi mabaya ya fedha katika shughuli za Uchaguzi
(b) Kuona mtindo wa matumizi mabaya ya fedha katika Uchaguzi kuwa ni utamaduni wetu.
(c) Kuzuia uongozi kugeuzwa kuwa ni kitu cha kununuliwa
(d) Kuzuia wapigakura kuchuuza kura zao kwa wagombea
MISINGI YA SHERIA
(a) Uteuzi ndani ya vyama.
(b) Uwazi wa mapato na matumizi
(c) Uwazi wa michango.
Ili kusoma sheria kamili nenda michuzipost
BOFYA HAPA


No comments: