Monday, August 23, 2010

libeneke la angalia-bongo

Natatumaini kuwa mnaendelea vyema na shughuli za kila siku za kujenga taifa..Jambo la msingi ni kuwaomba wana blog wenzangu kuweza kunisaidia kuwataarifu wasomaji kupitia blog zenu kuhusu mabadiliko ya blog yangu kutoka www.angaliabongo.co.tz na sasa kuwa

www.angalia-bongo.com
Natumaini mtaweza kunisaidia kwa hilo.
NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI.
SARAH.

No comments: