Tuesday, August 17, 2010

sakata la uraia wa hussein bashe
Kamati kuu ya CCM imemuengua Bw. Husein Bashe ambaye aligombea kura za maoni ccm kupitia jimbo la Nzega, Tabora, na kumbwaga aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Bwana Lucas Selelii kwa jumla ya kura 14,200 za Bashe, dhidi ya 2700 za Selelii, kutokana na utata wa uraia wake ambapo inadaiwa si raia Tanzania

Hello,
Nimerekodi mahojiano ya BBC Swahili kipindi cha Dira ya BBC wakati bi Aisha Yahya anahojiana na Hussein Bashe kuhusu suala la uraia kisha mazungumzo ya Salim Kikeke na John Chiligati kuhusu suala hilo.
Linki ni hii:
http://bit.ly/abkuk6
Shukrani kwa timu nzima ya
BBC kwa mahojiano haya.
Subi

No comments: