Wednesday, July 29, 2009

Sinywi kilevi AY
Msaanii wa Muziki wa Kizazi kipya ‘Bongo Flava’ Ambwene Yesaya a.k.a AY ambaye ni Balozi wa Malta Guiness nchini Tanzania anataraji kuanza kampeni zake kama balozi baada ya miezi miwili toka sasa.

Balozi huyo wa mika miwili na anaevuda dola za Obama takribani elfu 40 kwa mwaka ameingia mkataba huo na kamupuni ya bia ya Afrika Mashariki EABL ya kuwa hatokunywa pombe (kilevi) ndani ya mika 2.

Mkataba huo unamlazimu AY kutokunywa kilevi chaina yeyote wala kuvuta sigara hadharani na badalayake awe anakunywa Malta Guiness pekee.

Pamoja nae pia yupo DJ na msanii maarufu toka Kenja Kenya Esther Wahome.

No comments: