kipaji kingine cha soka ughaibuni chavumbuliwa


hii timu ipo chini ya ajenti anayeitwa Howid Goldberg anayeandaa vijana wenye vipaji kama Denis na hatimae kuwatafutia timu ya kulipwa hapa marekani na hata ulaya.
Howid Goldberg pia ni ajenti wa mchezaji Nino Gomez anayechezea Fc Porto ya Ureno.Denis anasema kutokana na yeye kua na kipande cha kijani ndio maana kwake ni vigumu kwa ajenti kumpa majaribio ulaya.
Denis alikuja huku Marekani akiwa na miaka 14 kwa kumfuata Baba yake Lepana Geoffrey na amesoma na kucheza mpira college ya Columbia,St.Louis 2005-08,mwenyewe pia anapendelea kufanya majaribio na timu ya Taifa kama atahitajika au kupata nafasi kufanya hivyo.
kwa habari zaidi za Denis unaweza kuzipata kwa kubofya www.caryclareps.com
No comments:
Post a Comment