mjumbe wa FIFA aliyenyamazisha mgogoro wa TFF na ZFA
Mamelodi akasawazisha kwa kusema katiba ya FIFA inatambua Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa ni nchi moja na mwakilishi wake ni TFF pekee na kwamba ZFA haiwezi kamwe kuwa mwanachama wa FIFA kwa mantiki hiyo
No comments:
Post a Comment