Tuesday, July 21, 2009

muonekano mpya wa teksi za dar

hivi ndivyo teksi za dar zinavyoonekana sasa ambapo kila wilaya ina rangi yake. wilaya ya ilala ni kijani, kinondoni ni njano na temeke buluu. hii ni katika kurahisisha utambuzi wa magari haya. picha hii imepigwa kona ya mtaa wa mkwepu na samora avenue zamani maarufu kama salamander ambayo jengo lake limeshapigwa nyundo.

No comments: