Wednesday, September 22, 2010

UZINDUZI WA TAMKO LA WANAHARAKATI WASIO WA KISERIKALI 2010; “WAKATI UCHAGUZI NA BAADA YA UCHAGUZI 2010
Mgeni rasmi,Jaji Mstaafu Lameck Mfalila akionyesha kitabu cha tamko la Wanaharakati wasio wa Kiserikali 2010;“wakati na baada ya uchaguzi 2010:Tanzania ipi tunayoiitaka?”
Mgeni rasmi aliyezindua ni; Jaji Mstaafu Lameck Mfalila, Mwenyekiti wa Board, Agenda Participation 2000 pembeni akiangalia ni Resident Director-FES, Dr. Stefan Chrobot mwengine ni Balozi Mahmoud Jabir.

BOFYA HAPA
kwa habari kamili

No comments: