Monday, September 20, 2010

dr slaa azidi kupasua na kampeni zake.

Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akimnadi mgombea ubunge katika jimbo la Hai kupitia chama hicho, Freeman Mbowe, wakati wa mkutano wa kampeni zilizofanyika Bomang'ombe mjini jana.
Waendesha pikipiki wakiwa katika maandamano ya msafara wa mghombea urais wa TanzaNia kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, kuelekea katika mikutano yake ya kampeni katika jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro jana. (Picha na Joseph Senga)
Mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edwin Mtei, akiwahutubia wanachi wa Siha mkoani Kilimanjaro, wakati wa mkutano wa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa (kulia) juzi. (Picha na Joseph Senga)

No comments: