Monday, September 6, 2010

PROF JAY AMTEMBELEA BILL GATES TAJIRI MKUBWA DUNIANI.

Akiwa nje ya Office ya Bill Gates (Microsoft)

Akiwa ndani ya Office...

Wakati akiwa ndani akizungumza na jamaa camera hazikuruhusiwa kabisa, so maongezi yalikuwa mazuri na Prof Jay aliweza kubadilishana nae mazungumzo na kumwambia jamaa juu ya matatizo yanayotukabili kuhusu utandawazi wa computer na Internet pia

Hahahhahaa i love dis coz ime make headline

No comments: