Monday, September 20, 2010

JK ahudhuria mazishi ya julius msekwa jijini dar leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo wakati alipokwenda kuifariji familia ya Marehemu JuliusMsekwa ambaye ni mtoto wa Makamu mwenyekiti wa CCM Bara Pius Msekwanyumbani kwao Bongoyo Oysterbay, jijini Dar asubuhi ya leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima za mwisho kwamarehemu Julius Msekwa ambaye ni mtoto wa Makamu Mwenyekiti wa CCMBara Pius Msekwa wakati wa ibada ya mazishi iliyofanyika nyumbani kwawazazi wa marehemu , Bongoyo Oysterbay jijini Dar es Salaam janajioni.Marehemu Julius Msekwa aliyefariki wiki iliyopita huko NicosiaCyprus ambapo alikuwa akifanya kazi ya mtaalamu Mshauri bingwa katikafani ya teknolojia ya Mawasiliano, alizikwa jana katika makaburi yaKinondoni jijini Dar jioni hii
Rais Jakaya Mrisho Kikwete,(wapili kushoto) Makamu Mwenyekitiwa CCM Bara Pius Msekwa(kushoto) na mkewe Mama Anna Abdallah(watatukushoto) pamoja na Rais mstaafu awamu ya tatu Mzee Ali HassanMwinyi(kulia) wakishiriki ibada ya mazishi ya kumuombea MarehemuJulius Msekwa aliyefariki huko Nicosia Cyprus wiki iliyopita nakuzikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar jioni hii. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu

No comments: