Monday, September 20, 2010

mgombea urais chama cha ccm mh jakaya kikwete alipounguruma manyara na babati

MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Rais Jakaya Kikwete akiagana na wananchi kwa kuwapungua mkono, baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni , wilayani Babati.
Mgombea urais kwa chama cha CCM,Mh Jakaya Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa Chipukizi wa Mkoa wa Manyara Hilda Prosper Hinghmaghway (7), anayesoma darasa la pili katika shule ya Rift Valley iliyoko Babati wakati wa mkutano wa kampeni wa CCM uliohutubiwa na Mgombea urais kupitia chama hicho mjini Babati, (Picha na John Lukuwi).
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),Dk. Jakaya Kikwete, akisalimiana na wananchi wa Haydom, mkoani Manyara, alipowasili katika mkutano wa kampeni, .(Picha na Freddy Maro.

No comments: