Thursday, December 30, 2010

EXCLUSIVE INTERVIEW WITH SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH. ANNE SEMBAMBA MAKINDA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anne Sembamba Makinda akishuka kwenye gari lake kuelekea ofisi za Bunge mjini Dodoma.

SPIKA mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Semamba Makinda, (61) ambaye alichaguliwa hivi karibuni amefanikiwa kufanya mahojiano maalum na mtandao wa MO BLOG ya Jijini Dar es Salaam, na katika mahoajiano hayo aligusia vipengele vifuatavyo:

-Asema hataki kuondoka kwa shangwe za aibu

-Asisitiza muda wa miaka 40 Bungeni inatosha

-Aahidi kuhimili mikikimikiki ya wabunge vijana

Kupata mahojiano haya kwa kina bonyeza hapa:

http://www.mohammeddewji.com/blog/?cat=5

1 comment:

Anonymous said...

Just popping in to say nice site.