Friday, December 17, 2010

waziri mkuu aongea na wahariri leo
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akisisitiza jambo katika mkutano wake na Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari ofisini kwake mjini Dar es salaam
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (kushoto) akiongea na Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari ofisini kwake mjini Dar es salaam leo.Picha zote na Anna Itenda - MAELEZO

No comments: