Sunday, December 26, 2010

Tangazo
Kwa wale wanaohitaji Nyumba ya kupanga!!
Kuna nyumba ambayo iko maeneo ya sinza inapangishwa kwa miaka mitano. Hii inamaana kuwa unailipia pesa yote ya miaka mitano na unatlipia miaka mitano hiyo kwa kiasi mtakachokubalina na utaepuka kupanda panda kwa kila mwaka kwa kodi. Kazi kwako na kizuri zaidi ni nyumba mpya tunamalizia kidogo utakapotoa pesa yako na pia utakuwa wa kwanza kuingia kuna parking ya gari moja. Na pia ni ghorofani unajitegemea huko juu bila kukutana na wachini yako.
tuwasiliane kwa namba 0754023353.
Nb. hakuna dalali hapo wasiliana na namba hiyo hapo juu.
Kwa wale wanaohitaji.

No comments: