Sunday, December 26, 2010

Marehem Hassan Jumanne Makunja
Amezaliwa 4-03-1964 amefariki 19-Dec-2010
Marehem Hassan Jumanne Makunja ni mdogo wake Ras makunja.
Late Hassan Makunja amefariki dunia uko Utete,Rufiji,mkoani Pwani
siku ya 19.December 2010 na kuzikwa 20.12.2010.
Marehem Hassan Makunja alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya vidonda vya tumbo,
alikwenda mjini utete,Rufiji kwa mapuziko na kumtembela mama yake mzazi,
Ndipo umauti ukamkuta .
Familia ya marehem inasikitika kuwajulisha jamaa na marafiki taarifa hii ya msiba wa Ndugu Hassan Jumanne Makunja,kuwa hatunaye tena.
Rambi rambi wasiliana namba hii 0787532929 au 0718893419, Bi.Ummy Makunja

No comments: