Tuesday, December 28, 2010

BREAKING NEWS…!!!

Risasi zinarindima katika Maeneo ya Karume njia ya kuelekea Ilala na Buguruni kwa ajili ya kuzuia maandamano ya wanachama wa Chama cha CUF….Mwandishi wetu yuko eneo la tukio habari kamili baadaye.

No comments: