Tuesday, January 20, 2009

Tunakukumbuka Bibi Yetu
Delphina Kasuga .

Bibi yetu Delphina Kasuga kesho tarehe 21/01/2009 tutakuwa tunafikisha mwaka wa tatu tangu ututoke katika ulimwengu huu pale hospitali ya Mama Ngoma ilikuwa ghafla sana ingawa tulikupenda sana ila Mungu alikupenda zaidi.
Wajukuu zako tunakukumbuka sana Ronald Kasuga, Fina Kasuga ,Joshua Kasuga, Rose Lema, Ferald Akyoo, Magdalena Akyoo, Safari Kawa, Agustino Kasuga, Babu na wengineo wengi neo wengi ulioshirikia na nao kwa ukaribu .
Tutakukumbuka Daima .
Raha ya milele umpe Ee Bwana na mwanga wa milele Umwangazie Astarehe kwa Amani Amina .

No comments: