Thursday, January 29, 2009

Askari wa JWTZ amuogesha dereva wa school bus



Hiyo picha nimetumiwa na mdau, naomba tuiwakilishe hivyo
hivyo japo haionekani vizuri:-

"Kaka naomba uiwakilishe hii picha ya askari wa JWTZ aliyemuogesha
dereva wa school bus pale kawe darajani kwa komba asubuhi ya leo baada
ya kumwagia maji viatu vyake ambavyo anadai alivipiga kiwi leo asubuhi.
Haya sio ya kusikia nimeyaona kwa macho na watu wadau wengine pia
alishuhudia. Hebu tuulize wana jamii; Mlinzi wa wananchi anapofanya kitu
hii wewe unapata picha gani?" Nawakilisha

NB:Wadau mimi kama kawaida yangu ya ujumbe,si mnajua mjumbe hauwawigi

No comments: