Monday, January 19, 2009


Baada ya ziara za mikoani na kumwaga sumu katika Operesheni Sangara sasa Viongozi wa Chadema wameingia jijini Dar es Salaam kuendeleza operesheni hiyo.
tarehe 12 ndio walitanagaza rasmi kuvunja ndoa na vyama vingine vya upinzani!!
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amesema wamegundua kuwa kuna vyama vingine ambavyo ni mamluki katika upinzani na hivyo Chadema kitapambana chenyewe kuwakomboa waTz ila jamani kuna ya ccm inaitwa nyavu kama sikosei kwa hiyo hapo ni raha tupu hiyo wameizindua kutoka Arusha .

No comments: