tarehe 12 ndio walitanagaza rasmi kuvunja ndoa na vyama vingine vya upinzani!!
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amesema wamegundua kuwa kuna vyama vingine ambavyo ni mamluki katika upinzani na hivyo Chadema kitapambana chenyewe kuwakomboa waTz ila jamani kuna ya ccm inaitwa nyavu kama sikosei kwa hiyo hapo ni raha tupu hiyo wameizindua kutoka Arusha .
No comments:
Post a Comment