Thursday, January 29, 2009

bongo mvua kiduuchu mtafutano


Bongo bwana mvua kiduuchu tu balaa kila mahali,Mvua ya kiasi imenyesha leo asubuhi jijini Dar,lakini adha ya msongamano wa magari na mifereji ya maji machafu kujaa imekuwa kero kubwa sana

No comments: