Tuesday, January 27, 2009

Mnaokuja Dom muwe macho....!!!

Eneo la mlima uliyopo dodoma makulu ambapo alimanusura matapeli watatu wawili kutoka dsm wakiwa na mwenyeji wao wamlize babu wa watu kutoka rombo kiasi cha sh40m...fedha ambayo babu huyo aliipata baada ya kuuza nyumba yake iliyopo dsm.... hata hivyo polisi mkoani dom walistukia game na kumwokoa babu huyo asitapeliwe......
Eneo hili ndilo babu huyo toka rombo alipoambiwa kuwa atazungumza na babu anayeweza fanya mazingara chapaa hizo Sh40m zikawa Sh600m.....
Hapa kuna mishumaa pamoja na udi ambayo huwashwa na kumpumbaza mtapeliwa kuwa ataongea na maruhani.... ila kwa mbele kama anapoelekea kamanda mmoja pichani kuna tundu la kutokea upande wa pili.... ila kwa juu yake kuna madondora kichizi.....!!!

No comments: