Saturday, July 26, 2008

Ziara ya Rais Kikwete Mkoani
Ruvuma...
Rais Jakaya Kikwete akiongea na mtoto Laika Pili(10)anayesoma katika Shule ya Msingi Mitomoni,wilaya ya Songea vijijini wakati Rais Kikwete alipokwenda kukagua ujenzi wa Daraja linalounganisha nchi ya Tanzania na Msumbiji katika kijiji cha Kenda Kivukoni kata ya Mitomoni,wilaya ya Songea vijijini.Picha Freddy Maro/Ikulu

No comments: