Wednesday, July 30, 2008

tbc yaonesha msiba wa mh. wangwe laivu
wafanyakazi katika chumba cha habari cha dailynews na habari leo wakifuatilia msiba wa hayati chacha wangwe kupitia luninga ambapo tbc imekuwa ikitangaza laivu toka dodoma karibu kutwa nzima jana.

No comments: