Thursday, July 31, 2008

Deus Mallya... Sema ukweli utoe utata !!!



Pichani ni Deus Mallya,jamaa aliyekuwa na Marehemu Chacha Wangwe katika ajali mbaya ya gari iliyotokea jumatatu na kusababisha mauti Kifo cha Mh Chacha Wangwe ambapo Utata Mkubwa umejitokeza iwapo marehemu Chacha Wangwe aliyefariki katika ajali hiyo ya gari Jumatatu usiku alikuwa akiendesha gari hilo ama la.

Kwa mujibu wa mtu aliyefika katika eneo la tukio dakika chache baada ya ajali hiyo, Mwiguni George,alimkuta marehemu Wangwe akiwa katika kiti cha mbele cha abiria huku sehemu ya kichwa chaki kikiwa kimebanwa ubavuni mwa kiti hicho na mlango wa nyuma.Kwa mengi zaidi juu ya Habari hii Endelea kwa Kubofya Hapa na Hapa.....>>>>>

No comments: