Thursday, July 31, 2008

Balozi wa Cuba amtembelea
Rais Karume..


r

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume(Kulia),akizungumza na balozi wa Cuba Nchini Tanzania,Mh Felipe Ruiz O Farril aliyemtembelea Ikulu Mjini Zanzibar na kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.Picha na Ramadhan Othman Ikulu/Zanzibar

No comments: