Thursday, July 31, 2008

MAMBO YA KIPOLISI

Haki ya Mungu niko Singida nimekutana na huyu kamanda wa polisi mkoani huku anaitwa Celina Kaluba nikaogopa kumbe wakinamama nao wako fiti sijui inatakiwa tuwe na IGP mwanameke? Lakini kali kuliko ni Central polisi nimeogopa baada ya kukuta hili Hummer imewekwa sijui imetumika kwa ujambazi ama kwa hela za kifisadi lakini imearrestiwa.! ama matajiri hawaruhusiwi bongo?

No comments: