Thursday, July 31, 2008

Yaani kibaka ni kibaka tu! jamaa huyu alifikishwa mahakama ya wilaya ya Tameke kwa kosa la kumchapa mtu panga hakuwa na hofu mpaka anasomewa mashtaka na kurejeshwa rumande alikuwa anajiona shujaa. Imagine ukutane nae mtu kama huyu halafu hana senti mfukoni!

No comments: