Friday, July 25, 2008

Dr Migiro akutana na
Dr Shein...
Makamu wa Rais Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dk.Asha Rose Migiro(Kushoto)alipomtembelea Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es salaam jana.Dk.Migiro yupo Nchini kwa ajili ya mapumziko ambapo ametumia nafasi hiyo kwa ajili ya kuzungumza na viongozi mbalimbali hapa Nchini pamoja na kukabidhi taarifa ya Kamisheni ya kuwawezesha kisheria watu wenye kipato cha chini.

No comments: