Thursday, July 31, 2008

Majengo ya Kale Hatari Tupu
Bagamoyo....


Mtoto wa mtaa wa Mwambao Bagamoyo,akicheza karibu na ukuta wa jengo linalodaiwa kujengwa mwaka 1830,majengo mengi ya kale ambayo yange takiwa kuhifadhiwa na kuwa kumbukumbu badala yake yameachwa na uongozi wa mji huo kama muonavyo pichani na kutishia maisha ya watu,kwani yakianguka ni hatari kwa utalii wa mji huo.Picha ya Mdau Deus Mhagale.

No comments: