Thursday, July 31, 2008

Usafiri Bongo Noma
Tupu..




Shida ya usafiri bongo inazidi kushika kasi siku hadi siku kama muonavyo pichani mdau akila lifti ya bure baaada ya daladala kujaa hii ndio shida wakazi wengi wa jiji la Dar es Salaam wanayopata kila kukicha na kwa wanafunzi ndio usiseme balaa tupu.Asante ya Picha Michuzi

No comments: