Monday, April 20, 2009

kiota kipya cha maraha chafunguliwa dar
hiki ndicho kiota kipya cha savannah lounge & pub kilichomo ndani ya paradise city all-suite hotel katika ghorofa ya tatu ya jengo la benjamin mkapa pension towers usoni pa posta mpya mtaa wa azikiwe street jijini dar. kimefunguliwa rasmi usiku kuamkia leo na kiko wazi masaa 24
mandhari ya kuvutia
vistuli vya kisasa
viti vya kileo
manjonjo kibao
sehemu ya viti virefu

kwa mawasiliani zaidi piga:

+255 22 2200060/1/2/ ext. 7070

No comments: