Saturday, April 25, 2009

CRDB KUUZA HISA MIL 125




Mwenyekiti wa Board Martin Mmari (kati) akizindua uuzaji hisa Mil 125 huku Mkurugenzi Dr Charles Kimei na Naibu Mkurugenzi Jens Ole Pedersen wakishuhudia.
Benki ya CRDB PLC imeanza kuuza hisa zake zipatazo Milioni 125 kwa dhamani ya au bei ya kutupwa ya Shs 150 kwa kila hisa moja kuanzia Trh 20 mpaka 8 Mei kabla ya kujiandikisha rasmi DSE hapo Mwezi Juni.

No comments: