Monday, May 31, 2010

GARI LA RAIS

Mi naogopa kusema, lakini nahisi kuna jambo kwa nini Mkurugenzi wa Mawasiliano alidai kuwa hii ilikuwa pancha wakati gari liling'oka tairi? Kweli kuna usalama kama rais inamtokea hivi sasa tutalaumu ajali za Abood ama Shabiby?
Hayo nimaneno ya mzee wa sumo.

No comments: