Saturday, May 8, 2010

Hizi zilikuwa heka heka za
mkutano mlimani city !!


Du jamani naona imeishia kati ila kwa kasi walio kuwa wanafanya wangekuwa wamemaliza. Bongo tunaweza kufanya kazi kasi ila mpaka iwepo sababu sijui kwa nini !! Tubadilike huku maeneo yangu yakutafuta riziki lilikuwa linapita gari la serikali sasa ambacho kilikuwa kinanishekesha jamaa alikuwa akitangaza eti tufanye usafi maeneo ya karibu na barabara kwa maana kuna ujio wa wageni nikapata jibu kuwa tunafanya usafi mpaka wageni waje !!
Tubadilike jamani sio zama za kusubiri mpaka vitu vitusukume hatuoni jiji lilivyopendeza kwa muda mfupi kama ikiwa tabia yetu ya ndani kuhusu usafi mambo yatakuwa mswano sana.

No comments: