Monday, May 31, 2010

Hii imekaaje !!!


Fundi umeme akichokoa umeme bila kuvaa vifaa vyovyote vya kumkinga Maeneo ya Tandale jijini Dar es salaam. Hapa ya kimkuta ya umeme ndipo atakaposema ninge !!
Tuwe makini jamani na maswala ya umeme maana kwa ufundi huu ndio kulipua nyumba na kadhalika na mjuavyo zima moto inavyo jivuta acha tu .Picha na Mdau Robert Okanda

No comments: